TAKRIBANI WATOTO 800 HUGUNDULIKA NA SARATANI KILA MWAKA NCHINI TANZANIA

Kutoka New York, Marekani Waziri wa Afya Ummy Mwalimu  Septemba 23, 2022 ameweka wazi kuwa, kila mwaka takriban watoto 800 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani nchini Tanzania hivyo kuchangia ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Waziri Ummy amesema hayo katika kikao  na Taasisi ya Global HOPE iliyoko Texas nchini Marekani katika mkutano wa