TAKRIBANI WATOTO 800 HUGUNDULIKA NA SARATANI KILA MWAKA NCHINI TANZANIA
Kutoka New York, Marekani Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Septemba 23, 2022 ameweka wazi kuwa, kila mwaka takriban watoto 800 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani nchini Tanzania hivyo kuchangia ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Waziri Ummy amesema hayo katika kikao na Taasisi ya Global HOPE iliyoko Texas nchini Marekani katika mkutano wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed